
Founder & Lead Developer of MUST Market
Mbeya University of Science and Technology (MUST)
MUST Market ilizaliwa kutokana na uhitaji halisi wa wanafunzi kupata vifaa vya masomo, malazi, na vifaa vya kielektroniki kwa urahisi na usalama. Kama mwanafunzi mwenza, niliona umuhimu wa kutengeneza jukwaa ambalo litawaunganisha wanafunzi wote wa MUST kufanya biashara moja kwa moja bila madalali.
Kurahisisha maisha ya chuo kwa kuondoa vikwazo vya kupata mahitaji muhimu, na kuwapa wanafunzi nafasi ya kujitengenezea kipato kupitia biashara zao ndogo ndogo wakiwa campus.